Breaking News

Your Ad Spot

May 27, 2010

LINDI YATINGA NUSU FAINALI BAADA YA KUIKUNG'UTA ILALA 3-0

MCHEZAJI wa timu ya Ilala, Bao Bofu (kushoto)akipambana na Justin Philipo wa timu ya mkoa wa Lindi timu hizo zilipomenyana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Taifa 'Kili Taifa Cup', jana.Lindi iliibuka na ushindi wa mabao 3-0.MASHABIKI wa timu ya mkoa wa Lindi wakishangilia baada ya mechi kumalizika, timu hiyo ikiwa imeibuka na ushindi wa mabao 3-0, ilipomenyana na timu ya Ilala, katika nusu fainali ya Kombe la Taifa 'Kili Taifa Cup', kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages