Breaking News

Your Ad Spot

Jul 22, 2010

DUDUMA,MADEGA NA KAWAMBWA WAREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CCM


KADA wa CCM, Nassoro Duduma (kulia) akimkabidhi fomu yake ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Katibu wa CCM wilaya ya Bagamoyo Fikirini Masokola, aliupoirejesha jana katika Ofisi ya CCM ya wilaya hiyo, baada ya kukamilisha kuijaza.  Jumla ya wana-CCM tisa wamejitokeza kuomba nafasi hiyo.
Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Imani Madega (kulia) akimkabidhi fomu yake ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Katibu wa CCM wilaya ya Bagamoyo Fikirini Masokola, aliupoirejesha jana katika Ofisi ya CCM ya wilaya hiyo, baada ya kukamilisha kuijaza.  Jumla ya wana-CCM tisa wamejitokeza kuomba nafasi hiyo.

KADA wa CCM, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia) akimkabidhi fomu yake ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Bagamoyo  mkoa wa Pwani, Katibu wa CCM wilaya ya Bagamoyo Fikirini Masokola, aliupoirejesha jana katika Ofisi ya CCM ya wilaya hiyo, baada ya kukamilisha kuijaza.  Wanachama wengine wawili, Emmanuel Patuka na Andrew Kasambala wameomba nafasi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages