Breaking News

Your Ad Spot

Jul 17, 2010

PROFESA MWAIKUSA AZIKWA LEO

LOFEA Mwaikusa (wapili kushoto) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu mumewe, Profesa Jwani Mwaikusa, kabla ya maziko yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Mbezi Salasala, Dar es Salaam,jana. Profesa Mwaikusa aliyekuwa Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, aliuwa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake na watu wanaoaminika kuwa ni majambazi, Jumanne wiki hii. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages