Breaking News

Your Ad Spot

Jul 10, 2010

KINONDONI YATWAA UBINGWA COPA COCACOLA

NAIBU Waziri wa habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera akimkabidhi kombe nahodha wa timu ya Kinondoni, Habibu Khalfan, kufuatia timu hiyo kuibuka bingwa wa michuano ya Copa Cocacola ya vijana chini ya miaka 17, baada ya kuinyukaa mabao 2-0 timu ya Temeke, katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, jana. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages