Breaking News

Your Ad Spot

Jul 11, 2010

MGOMBEA MWENZA KUJUKLIKANA LEO BAADA YA JK KUPITISHWA

KITENDAWILI cha nani kuwa mgombea mwenza wa Rais Jakaya Kikwete kinateguliwa leo hatua itakayofuata baada ya Jk kupitishwa rasmi na kikao cha NEC ya CCM mjini Dodoma.



Dodosa za vyombo vya habari zinawapa shavu mmoja kati ya Waziri wa fedha wa zamani Zakia Meghji, Waziri Kiongozi aliyekuwa anawanaia kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar, Nahodha au Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais, anayeshughulikia Muungano Mohammed Seif Khatib.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages