Breaking News

Your Ad Spot

Jul 11, 2010

UCHAGUZI KUMTHIBITISHA JK KWA MGOMBEA WAFANYIKA MCHANA HUU

 
MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua kikao cha mkutano mkuu leo asubuhi katika ukumbi wa Kizota mjini Dodoma 
Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akiteta jambo na Katibu Mkuu wa CCM Mzee Makamba na Mzee Kingune Ngombale-Mwiru katika ukumbi wa Kizota wakati wa mkutano huo mjini Dodoma.
Rais Kikwete akijipigia kura, wakati wa uchaguzi uliofanywa na Halmashauri Kuu ya CCM kumthibitisha au kumkataa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM leo. Wengine ni Waziri Kiongozi Shamsi Vuai nahodha, Mgombea mteule wa Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Makamu wa Rais Dk. Sheni na waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages