Breaking News

Your Ad Spot

Jul 27, 2010

MWANDISHI WA HABARI AFARIKI DUNIA DAR

Aliyekuwa mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania, Primtiva Pankrasi (Pichani), amefariki dunia.
Taarifa zilizofikia Blogu ya Chachandu Daily, zimethibitisha kwamba mwandishi huyo alifariki jana mchana katika hospitali ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugali ya mjini Dar es Salaam, alikokwenda kwa ajili ya matibabu ya kawaida ‘Check up’. Imeelezwa kuwa baadaye alipatwa na presha ya ghafla na kupoteza kufariki muda si mrefu.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages