Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2010

CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE JANGWANI LEO

 Maelfu ya wana-CCM wakiwa wamefuriuka katuika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, wakatii wa mkutano huo leo

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete akihutubia maelfu ya wana-CCM na wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni hizo katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
MHESHIMIWATemba na Chege wakitumbuiza wakati wa mkutano huo
Marlow akitumbuiza na kundi lakwe
Mwanamuziki Zahir Ally 'Zorro na mtoto wake, Baba Zorro wakitumuiza katika mkutano huo'
NYOSHI El Saadat, akishambuliwa jukwaa na wanamuziki wa bendi ya fm Academia
Joti wa Orijino Komedi akibebwa na Wana-CCM kwenye mkutano huo baada ya kuwafanyia vijimambo
Jk akiondoka baada ya mkutano huo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages