Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2010

KUMEKUCHA: CCM KUZINDUA KAMPENI ZAKE LEO MCHANA JANGWANI, JIJINI DAR ES SALAAM

MGOMBEA wa CCM Rais Jakaya Kikwete ataunguruma kwenye viwanja vya Jangwani wakati uzinduzi wa kampeni za CCM za uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 31.

MAAANDALIZI jukwaa yakikamilishwa leo asubuhi
Sehemu watakayoketi wageni waalikwa Vyoo maalum vilivyowekwa kwenye viwanja hivyo
 SHUGHULI zote zitakuwa live

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages