Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2010

JK NDANI YA MPANDA


MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dk.Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakiwakiwaqpungia mikono waelfu ya wananchi walihudhuria mkutano wa kampeni ulifanyika katika mji wa Mpanda koani Rukwa juzi. (Picha na John Lukuwi).
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Rais Dr. Jakaya Kikwete akimbeba kwa bashasha mtoto ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, alipowasili katika Uwanja wa michezo wa mjini Mpanda ambako alihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni jana.
WAKAZI wa mji wa Mpanda, wakimkaribisha kwa mabango mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Dr.Jakaya Kikwete, alipowasili mjini humo jana.(picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages