Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2010

MAMA SALMA ATUA MBEYA KULONGA KWA KARIBU NA KINA MAMA WA UWT

MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete, akifurahia vikundi vya ngoma za asili, alipowasili unwanja wa ndege mjini Mbeya, juzi kwa ajili ya kuzungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kuhusu umuhimu wa Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 31, mwaka huu.
MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) mkoa Mbeya, Fatma Tawfiq, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Mbeya, juzi. (katikati ni) ni mkuu wa mkoa huo, James Msekela.(Picha zote  na Mwankombo Jumaa-MAELEZO).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages