Breaking News

Your Ad Spot

Aug 28, 2010

KAMPENI UCHAGUZI MKUU:

DK. SLAA  KUZINDUA KAMPENI ZA CHADEMA LEO 
Wafuasi wa CHADEMA wakiandamana kutoka katika viwanja vya Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, mchana huu, kwenda kwenye viwanja vya Jangwani katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho utakaofanywa punde na mgombea wake, Dk. Wilbroad Slaa.
================================================
JK yupo Kigoma, mgombea mwenza wake Mtwara.
Kwa picha za kina bofya:- http://www.issamichuzi.blogspot.com/ na http://www.sufianimafoto.blogspot.com/ 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages