Breaking News

Your Ad Spot

Aug 31, 2010

KARUME AFUNGUA MKUTANO WA MAJAJI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI YA UGAIDI KATIKA UKANDA HUO NA UHALIFU WA KIMATAIFA, LEO KATIKA HOTELI YA GOLDEN TULIP DAR ES SALAAM

.JAJI Kiongozi, Fakih Jundu (kushoto), Jaji Mkuu wa Zanzibar, Hamid Mahamoud Hamid na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Dk. Stephen Bwana (kulia) wakijadili jambo nje ya ukumbi wakati wakimsubiri Rais wa Zanzibar, Dk. Abeid Amani Karume kuwasili kwa ajili ya kufungua mkutano wa majaji wa nchi za Afrika Mashariki na Kati, kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi katika ukanda huo na uhalifu wa kimataifa, jana uliofanyika jana katika hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam
RAIS wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, akifungua mkutano wa Majaji wa nchi za Afrika Mashariki na Kati, kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi katika ukanda huo na uhalifu wa kimataifa, jana, katika hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam. Kulia ni Jaji Mkuu, Augustine Ramadhani. .

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages