KATIBU wa Jumuia ya Wazazi wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Stanley Mkandawile, akizungumza na viongozi wa Jumuia hiyo Kata ya Kawe, jana katika ukumbi wa Golden Bridge, kuhusu mikakati ya jumuia hiyo kufanikisha ushindi wa kwa CCM katika uchaguzi mkuu utakaoanyika Oktoba 31, mwaka huu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Wazazi Kata ya Bunju, Ibrahim Ela, na kulia ni Mwenyekiti wa jumuia hiyo Kata ya Kawe, Benjamin Maliwa.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269