Breaking News

Your Ad Spot

Aug 25, 2010

MFANYABIASHARA SHABIKI WA PICHA ZA VIONGOZI

MFANYABIASHARA mmoja katika makutano ya mitaa ya Swahili na Mafia, Kaariakoo, Dar es Salaam, amejipatia umaarufu wa aina yake kutokana na kuhakikisha eneo lake la biashara linapambwa na picha mbalimbali za viongozi zikiwemo zinazoendana na wakati. Pichani, mfanyabiasha huyo, akiwa amebandika kwenye duka hilo picha mpya ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto), kama ilivyoshuhudiwa na mpigapicha wetu, jana. Picha nyingine ni za viongozi wakuu wan chi na mashuhuri wakiwa katika amatukio mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages