Breaking News

Your Ad Spot

Aug 25, 2010

JK ATINGA BUKOBA KUOMBA KURA ZAKE NA CCM

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Mji wa Bukoba katika siku yake ya kwanza ya ziara ya siku mbili mkoani Kagera kuomba ridhaa ya wananchi wa mkoa huo ili waweze kumchagua katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 31.10.2010. PICHA NA JOHN LUKUWI

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages