Breaking News

Your Ad Spot

Aug 26, 2010

Dk.BILAL AANZA KUSAKA KURA KANDA YA KUSINI

Mgombea Mwenza wa Urais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkuu wa Wialaya ya Lindi Vijijini, Magagula Said, wakati alipokuwa akipokelewa mpakani mwa wilaya hiyo na Kilwa, wakati akiwa katika ziara yake ya mikutano ya Kampeni jana, Agost 25. Kushoto ni Katibu wa CCM wa Wialaya hiyo, Mohamed Rashid

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages