Mgombea Mwenza wa Urais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkuu wa Wialaya ya Lindi Vijijini, Magagula Said, wakati alipokuwa akipokelewa mpakani mwa wilaya hiyo na Kilwa, wakati akiwa katika ziara yake ya mikutano ya Kampeni jana, Agost 25. Kushoto ni Katibu wa CCM wa Wialaya hiyo, Mohamed Rashid
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269