Breaking News

Your Ad Spot

Aug 26, 2010

VIAZI VIKUU: CHAKULA AMBACHO HUONEKANA ZAIDI MWEZI WA RAMADHANI

MFANYABIASHARA ya viazi vikuu, akimuuzia mteja, katika mtaa wa Lumumba , Dar es Salaam, jana. Viazi hivyo aliuza kati y ash. 2,500/ na sh. 5,000 kwa kiazi kimoja.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages