Breaking News

Your Ad Spot

Sep 14, 2010

WASAJILI WAPYA 14 WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAAPISHWA LEO

JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Fakih Rheno Jundu (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wasajii wa mahakama hiyo (waliosimama), baada ya kuwaapisha leo,mjini Dar es Salaam. Wengine (waliokaa) kushoto ni, Msajili wa Makama Kuu, Ignas Kitusi na  Jaji Mfawidhi Kanda ya Dar es Salaam, Semistocles Kaijage na wapili kulia ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kitengo cha Ardhi,Rwegina Rweyemamu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages