Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2010

JK AKUTANA NA WAANGALIZI WA UCHAGUZI WA EU

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya Bwana David Martin ambaye alimtembelea Rais Kikwete huko Ikulu tarehe 28.10.2010.


Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo na ujumbe wa waangalizi kutoka Jumuia ya Ulaya ulioongozwa na David Martin (Wa pili kushoto) na Naibu Mwangalizi wa Uchaguzi mkuu Bwana Tonny Risse tarehe 28.10.2010.(PICHA NA JOHN LUKUWI)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages