Breaking News

Your Ad Spot

Oct 30, 2010

JK AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI USIKU WA KUAMKIA LEO

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa tayari  kuzungumza na baadaye kujibu maswali, katika mkutano wake na  waandishi wa habari, katika ukumbi wa Arnatoublou, mjini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo. Press Conference hiyo iliyoratibiwa na,  Asha Mtwangi, ilihusisha vituo tisa vya televisheni vikiwemo ATN, Channel 10, East Africa TV, TBC, TV Milimani, Clouds TV, Star TV na ITV. kurushwa 'live'.
Akisikilizwa wakati akichambua masuala mbalimbali kuhusu kwa nini wananchi wanapaswa kumchagua tena yeye katika uchaguzi utakaofanyika kesho nchini kote. 
Baadhi ya Wahariri watendaji wa vyombo vya habari wakimsikiliza kwa makini 
Baadhi ya wananchi pia walipata fursa ya kuingia ukumbini kusikiliza 'live' 
Wadau wakifuatilia anachosema JK katika ukumbi 
JK akiagana na watu mbalimbali baada ya mkutano huo 
JK akitoka ukumbini na mgombea mwenza wake, Dk. Mohammed Gharib Bilal baada ya mkutano kumalizika salama (Picha  kwa Hisani ya Michuzi Blogspot).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages