Breaking News

Your Ad Spot

Oct 8, 2010

JK HAKAMATIKI, AWAPITA KWA MBALI WAGOMBEA WENZAKE WA URAIS

MWENYEKITI mwenza wa REDET,  Dk. Benson Bana akitangaza matokeo ya utafiti wa taasisi hiyo inayojishughulisha na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania, na kusema mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete anaongoza kwa asilimia 71.2, wanakati wa CHADEMA, Willibrod Slaa akiwa na asilimia 12.3, Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF asilimia 10.3. Kulia ni Mtafiti Mkuu wa REDET, Dk. Bernadetha  Killian.

1 comment:

  1. Kwa hali ilivyo, Watanzania walio wengi hawajaelewa umuhimu wa vyama vya upinzani, na ukiwahoji huko kijijini wanasema `upinzani' ni kuleta `vita' wanasema wameambiwa kuwa wakichagua upinzani amani itavurugika kama Burundi na Rwanda....sasa hebu niambie!

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages