Breaking News

Your Ad Spot

Oct 23, 2010

MAHAFALI YA 24 ST ANTHONY MBAGALA,DAR ES SALAAM

Mary Bujiku aongoza katika masomo ya Commerce, English na Civics, Florian Mujwahuzi ameremeta

Wahitimu wakisubiri kutunukiwa vyeti katika mahafali hayo leo. Jumla ya wahitimu 211 wametunukiwa vyeti. 
Mary Bujiku (anayetabasanm), akiwa miongoni mwa wahitimu hao 
Mary Bujiku akipewa zawadi kwa kuongoza katika somo ya Biashara 'Commerce'
Kisha akapata tuzo tena kwa kuongoza katika somo la Kimombo 'English' 
Halafu akapata tuzo ya nyingine kwa kuongoza somo la uraia 'Civics' 
Kisha akapata cheti chake cha kuhitimu kidato cha nne 
MFANYAKAZI wa Idara ya Uhasibu katika Kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), Laurencia Masota akimpongeza mtoto wake, Mary Bujibu kwa kuhitimu kidato cha nne, katika mahafali ya  24 ya Shule ya sekondari ya St, Anthony, Mbagala, Dar es Salaam, yaliyofanyika shuleni hapo,  leo. Mary ametunukiwa zawadi kwa kuongoza katika masomo ya Biashara, Kingereza na Uraia katika jumla ya wahitimu 211 waliopewa vyeti katika mahafali  
MFANYAKAZI wa Idara ya Uhasibu katika Kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), Laurencia Masota akimpongeza mtoto wake, Mary Bujibu kwa kuhitimu kidato cha nne, katika mahafali ya  24 ya Shule ya sekondari ya St, Anthony, Mbagala, Dar es Salaam, yaliyofanyika shuleni hapo,  leo. Mary ametunukiwa zawadi kwa kuongoza katika masomo ya Biashara, Kingereza na Uraia katika jumla ya wahitimu 211 waliopewa vyeti katika mahafali  
Mwalimu wake wa Chekechea, Sista Generosa naye alikuwepo katika kumpongeza Mary Bujibu. 
Sista Gennerosa akimvisha taji kumgeza Mary
Mary Bujiku akiwa katika picha ya pamoja na mama yake ndugu na marafiki kibao 
Kikundi cha burudani kikitumbuiza kwa matarumbeta wakati wa mahafali hayo
Mgebni rasmi katika mahafali hayo, Edwina Lupembe, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa banki ya Biashara ya Ukombozi, akisoma hotuba yake. Kushoto Ni Mkuu wa shule ya Sekondari ya St,. Anthony, Ismail Edward.
Mary Bujiku akitoka katika ukumbi baada ya kujizolea tuzo kwa kufanya vizuri kartika masomo matatu,  na kupata cheti katika mahafali hayo.

000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
FLORIAN MUJWAHUZI NAYE AKAMEREMETA KATIKA MAHAFALI HAYO
Florian Mujwahuzi akiwa katika majoho yake, katika mahafali ya 24 ya kidato cha nne ya Shula ya Sekondari ya St. Anthony, Mbagala, Dar es Salaam, leo.
.Mgeni Rasmi katika mahafali hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya Mkombozi , Edwina Lupembe akimkabidhi cheti  Florian Mujwahuzi katika mahafali hayo
Mzee Mujwahuzi akimpongeza mtoto wake, Florian. Kulia ni Mama Mujwahuzi.
Mama Mujwahuzi naye akimpongeza mtoto wake kwa kuhitimu kidato cha nne katika mahafali hayo. Kushoto ni Mzee Mujwahuzi

Florian akiwa katika picha ya pamoja na wazazi wake katika mahafali hayo.
000000000000
Chachandu Daily inawatakiwa kila la hkeri wahitimu hao.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages