Breaking News

Your Ad Spot

Oct 30, 2010

MKUTANO WA KUFUNGA KAMPENI WA CUF VIWANJA VYA MAISARA,ZANZIBAR

WAFUASI wa CUF wakisubiri kuhutubiwa na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Seif Sharif Hamad (picha ya chini), katika mkutano wa kufunga kampeni viwanja vya Maisara mjini Zanzibar. 
Maalim Seif Sharif Hamad kwenye mkutano huo leo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages