HADI SASA CUF WAMEENDELEA KUTANDA LANGO LA BWAWANI HOTEL, LAKINI KWA STAILI YA KUWAFANYA CHAMBO WANAWAKE

Monday, November 1, 2010

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
WANAWAKE wakiwa wametangulizwa kuziba lango kuu la Hoteli ya Bwawani, ili kuwa kikwazo kwa Polisi wa kutuliza ghasia kuwaondoa wafuasi  wa Chama Cha CUF waliotanda kwenye lango hilo, kushinikiza Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imtangaze mgombea wa  chama hic ho Seif Shariff Hamad mshindi.

2 Comments:

Anonymous said...

dyclelany Anrielelin earnecekers [url=http://napechke.com]Senanamaso[/url] noideobrertek http://napechke.com

Anonymous said...

dyclelany Anrielelin earnecekers [url=http://napechke.com]Senanamaso[/url] noideobrertek http://napechke.com