Breaking News

Your Ad Spot

Nov 28, 2010

JK AZINDUA MICHUANO YA KOMBE LA CHALENJI LA TUSKER; KILI STARS YALALA KWA ZAMBIA 1-0

Rais Kikwete akiongoza kusikiliza wimbo wa taifa kabla ya kuzindua rasmi michuano ya CECAFA ya Kombe la Chalenji la Tusker. pamoja naye ni, Waziri mwenye mamlaka ya michezo, John Nchini (watatu kulia) na viongozi wa soka wa TFF, CECAFA 
Rais Kikwete akipiga mpira kuzindua mashindano hayo 
JK akimsalimia Kipa wa Kili Stars, Juma Kaseja wakati akikagua kikosi cha Stars kabla ya mchuano na timu ya Zambia 
Kili Stars 
Zambia 
Rais Kikwete akikabidhiwa  na Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Richard Wells, Kombe la Tusker Challenge Cup 
Thomas Ulimwngu wa Kili Stars akichuana na Steven Kkabanga wa Zambia

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages