Breaking News

Your Ad Spot

Nov 28, 2010

MICHUANO YA CHALENJI: ZANZIBAR HEROES YATAKATA , YAIBOFYA SUDAN 2-0

Ali Ahmed Salum Shibiri akishangilia baada ya kuipachikia bao la pili na la ushindi, timu yake ya Zanzibar Heroes, timu hiyo ilipomenyana na Timu ya Taifa ya Sudan, leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
MCHEZAJI Elrayan Abdallah wa timu ya Taifa ya Sudan (kushoto) akipambana na Sabri Ramadhani Mzee wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakati wa mechi hiyo.

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages