Breaking News

Your Ad Spot

Nov 27, 2010

JK KUAPISHA BARAZA JIPYA ASUBUHI HII, IKUKU MJINI DAR ES SALAAM

Chuo Kikuu Cha Dodoma Jana kiliwatunuku  Shahada ya Heshima ya Udaktari (Doctor Honoris Causa), Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Marehemu Mzee Rashid  Mfaume Kawawa kwa  kutambua michango yao mbalimbali katika nyanja za siasa na  elimu nchini ikiwemo kuasisi ujenzi wa Chuo hicho. Pichani Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa akimtunuku shahada ya Heshima ya Udaktari Rais Dr.Jakaya Kikwete wakati wa mahafali ya kwanza ya Chuo hicho iliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma jana.Katikati ni Makamu mkuu wa Chuo Profesa Idriss Kikula.   (Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages