Breaking News

Your Ad Spot

Nov 27, 2010

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Leodeger Tenga (picahni) anatarajiwa kuwania nafasi ya ujumbe katika Shirikisho la Soka la Soka Barani Afrika (CAF) katika uchaguzi utakaofanyika nchini Sudan mwezi Februari mwakani. Imetoka: http://www.mamapipiro.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages