Breaking News

Your Ad Spot

Nov 29, 2010

KOMBE LA CHALENJI: MALAWI YAITUNGUA KENYA 3-2

MSHAMBULIAJI wa harambee stars akishambulia langoni mwa Malawi, timu hizo zilipomenyana leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, leo kwenye mtanange wa michuano la Kombe la Chalenji. Shambulio halikuzaa matunda kutokana na kuokolewa na mabeki ya Malawi. Hatimaye Harambee ilitoka uwanjani ikiwa imejiinamia kwa kutwangwa mabao 3-2

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages