Breaking News

Your Ad Spot

Nov 25, 2010

SOKA: VIPAJI KWANZA

MCHEZAJI wa timu ya kituo cha kukuza  vipaji ya soka cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Abuu Moshi (kushoto) akipambana na mchezaji wa timu ya kituo cha Africa Youth Sports Academy (TAYOSA), Magomeni, Ali Saidi, katika mechi maalum iliyoandaaliwa kwa ajili ya uzinduzi wa awamu ya tano ya programu ya Benki ya NMB ya kugawa mipira kwa shule za msingi nchini,  kwenye Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitosa suluhu. 
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars Posen akipiga mpira kufunga bao, wakati wa uzinduzi wa programu hiyo. wapili kulia ni Ofisa Mkuu wa Biashara wa NMB,  Kees Verbeek

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages