Breaking News

Your Ad Spot

Nov 24, 2010

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA

 RAIS Jakaya Kikwete akitangaza Baraza lake jipya la
 Mawaziri (Picha na Freddy Maro)
1. Ofisi ya Rais (Utawala Bora):- Mathias Chikawe
     Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu): Stephen Wassira

2.Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma):- Hawa Ghasia

3. Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano):- Samia Suluhu
     Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira):- Dk. Terezya Luoga Hovisa

4. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge):- William Lukuvi
* Uwekezaji na Uwezeshaji :- Dk. Mary Nagu

5. Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI);- George Huruma Mkuchika
    Naibu:- Aggrey Mwanri
    Naibu:- Kassim Majaliwa

6. Wizara ya Fedha Mustapha Mkulo
     Naibu:- Gregory Teu
     Naibu:- Pereira Ame Silima

7. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi;- Shamsi Vuai Nahodha
    Naibu:- Balozi Khamis Suedi Kagasheki

8. Wizara ya Katiba na Sheria;-  Celina Kombani

9. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Kimataifa;- Bernard K. Membe
     Naibu:- Mahadhi Juma Mahadhi

10. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa;-       Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi

11. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi;-      Dk. Mathayo David Mathayo
      Naibu:- Benedict Ole Nangoro

12. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia;- Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
      Naibu:- Charles Kitwanga

13. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka
       Naibu:- Goodluck Ole Madeye

14. Wizara ya Maliasili na Utalii;- Ezekiel Maige

15. Wizara ya Nishati na Madini;-  William Mganga Ngeleja
     Naibu;- Adam Kigoma Malima

16. Wizara ya Ujenzi;- Dk. John Pombe Magufuli
     Naibu:- Dk. Harrison Mwakyembe

17. Wizara ya Uchukuzi;- Omari Nundu
      Naibu:-  Athumani Mfutakamba

18. Wizara ya Viwanda na Biashara Dk. Cyril Chami
      Naibu:- Lazaro Nyalandu

19. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi;- Dk. Shukuru Kawambwa
      Naibu:- Philipo Mulugo

20. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii;- Dk. Haji Hussein Mpanda
      Naibu:- Dk. Lucy Nkya

21. Wizara ya Kazi na Ajira;- Gaudensia Kabaka
     Naibu;- Makongoro Mahanga

22. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto;- Sophia Simba Umi Ali Mwalimu

23. Wizara ya Habari, Vijana na Michezo;- Dk. Emmanuel John Nchimbi
      Naibu:Dk. Fenella Mukangara

24. Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki;- Samuel John Sitta
      Naibu;- Dk. Abdallah Juma Abdallah

25. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika;- Prof. Jumanne Maghembe
      Naibu: Christopher Chiza

26. Wizara ya Maji: Prof. Mark James Mwandosya
      Naibu: Eng. Gerson Lwinge

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages