Breaking News

Your Ad Spot

Nov 30, 2010

tiGo YAZAWADIA MSHINDI

OFISA Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya hundi ya sh. milioni kumi kwa mshindi wa jumla wa promosheni ya Dunia ya Washindi, Farijala Athumani Iddi mkazi wa Singida, katika makabidhiano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Miradi wa Huduma za Ziada (VAS) wa Tigo, Suleiman Bushagama.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages