Breaking News

Your Ad Spot

Dec 1, 2010

LEO NI SIKU YA UKIMWI DUNIANI: WADAU WANA MENGI YA KUSEMA.....

WAKATI leo Dunia inaadhimisa (siyo kusherehekea), siku ya Ukimwi Duniani, bado kuna changamoto kadhaa ambazo klazima zitatuliwe ili iweze kupatikana nafuu, ahueni au salama kabisa katika kukabiliana na janga hilo la ukimwi. Moja ya changamoto hizo ni kama ujumbe huu katika bango

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages