Breaking News

Your Ad Spot

Nov 21, 2010

ZANZIBAR HEROES NA DAR ALL STAR ZASHINDWA KUTAMBIANA

MCHEZAJI wa timy ya Kombaini ya 'Dar All Star' Rashidi Gumbo 'kushoto' akipambana na mchezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes),Othman Ally, timu hizo zilipomenyana leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya kirafiki. Timu hizo zilitoka suluhu.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages