Breaking News

Your Ad Spot

Nov 21, 2010

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LANUKIA

Wakati wengine wamekwisha jihakikishia kutorudi kutokana na kuanguka ubunge. kwa kutochaguliwa au kuteuliwa na Rais katika viti vyake kumi, je ni nani wataingia tena ndani ya Baraza la mawaziri kutoka katika hawa wa zamani?
Hawa ndio walikuwa mawaziri kamili
======================================== 
Naibu Mawaziri waliopita ambao kati yao, Balozi Seiff Ali Idd yeye ameshapenya kwa kuwa sasa ni Makamu wa pili wa Rais Zanzibar  na Mohammed Abooud  na Omar Yussuf Mzee ambao tayari wamo katika baraza jipya la mawaziri la Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages