Breaking News

Your Ad Spot

Nov 20, 2010

JK NA MWANDOSYA ENZI HIZO

Kwa sababu ninaelewa wapenzi watembeleaji wa Blogu hii mtakuwa na maoni mbalimbali kuhusu picha hii, sitaweka maelezo yanayoishusu lakini kwa kudokeza tu ni kwamba hapa Rais Jakaya Kikwete yupo safarini katika ndege na Profesa Mark Mwandosya enzi kabla ya Kikwete kuwa Rais na Mwandosya  akiwa hajawahi kushika nafasi yoyote ya uwaziri ambapo hadi unafanyika uchaguzi mkuu uliomalizika alikuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji OLD IS GOLD!!

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages