Breaking News

Your Ad Spot

Nov 20, 2010

MAHAFALI YA 45 YA CBE DAR ES SALAAM

JAMILLAH Kunenge ambaye ni miongoni mwa wahitimu 1824 waliokuwa kwenye mahafali hayo ya 45 ya Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE), akiwa mwenye furaha ya aina yake, alipokuwa katika mahafali hayo leo. yeye amehitimu Diploma ya Uhasibu. 
BAADHI ya wahitimu wakiwa katika mahafali ya 45 ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), leo katika chuo hicho mjini mjini Dar es Salaam. Katika mahafali hayo jumla ya wahitimu 1824 wa fani mbalimbali walitunukiwa vyeti. Waliokaa mbele wapili kulia ni  Jamillah Kunenge. 
MHITIMU wa Diploma ya Uhasibu katika Chuo cha Biashara (CBE), Judith Limbanga, akimnyonyesha mtoto wake mwenye umri wa mwezi mmoja Ernest Limbanga, katika mahafali ya 45 ya chuo hicho yaliyofanyika mjini Dar es Salaam, leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages