Breaking News

Your Ad Spot

Dec 16, 2010

DK. REMMY ONGALA KUZIKWA LEO

Aliyekuwa nwanamuziki mkongwe na mahiri hapa nchini, Dk. Remmy Ongala atazikwa leo katika makaburi ya Sinza, Dar es Salaam.

Maziko yatafanyika baada ya mwili wake kuagwa kwanza katika hospitali ya Taifa Muhimbili na baadaye kwenye viwanja vya Biafra, Kinondoni ambako mwili utaagwa  kuanzia saa 5 asubuhi hii.

Remmy alifariki dunia mjini Dar es Salaam, mapema wiki hii.

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages