Breaking News

Your Ad Spot

Dec 29, 2010

MTIBWA SUGAR YAINYWESHA 4-0 MAJIMAJI, UHAI CUP YA U20

Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar , Richard Jacob (kulia) akiumiliki mpira dhidi ya beki wa Maji Maji ya Sonhgea, Charles Haule, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, katika michuano ya Uhai Cup, kwa vijana chini ya miaka 20 (U20). Maji Maji ililala kwa mabao 4-0

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages