Breaking News

Your Ad Spot

Dec 29, 2010

U20 WA YANGA NA AFRICA LYON WASHINDWA KUTANBIANA ZATOKA 0-0 UHAI CUP

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Onesmo Leonard (kushoto) akijaribu kuumiliki mpira dhidi ya mchezaji wa Africa Lyon, Haji Amir, timu hizo zilipomenyana  katika mechi ya michuano ya Uhai Cup kwa vijana chini ya miaka 20 (U20) kwenye Uwanja wa Karume,Dar es Salaam, jana. timu hizo zilitoka 0-0.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages