Mshambuliaji wa timu ya Chuo Kikuu cha Tiba cha kumbukumbu ya Hurbert Kairuki, Joseph Mtombabali (kushoto) akimtoka mchezaji wa Chuo Kikuu cha IMTU, Edwin Alphage wakati wa mchezo wa bonanza lililofanyika katika shule ya Msingi, Mikocheni Dar es Salaam jana. Bonanza hilo liliandaliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania.
Your Ad Spot
Jan 16, 2011
Home
Unlabelled
BONANZA LA VODA KWA VYUO VIKUU DAR
BONANZA LA VODA KWA VYUO VIKUU DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269