Breaking News

Your Ad Spot

Jan 14, 2011

MABONDIA FRANCIS MIYEYUSHO NA JUMA FUNDI KUZIPIGA MWEZI HUU

MABONDIA Juma Fundi (kushoto) na Francis Miyeyusho (kulia),  wakitunishiana misuli, wakati likitangazwa pambano hilo leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) mjini Dar es Salaam. Katikati ni mratibu wa mpambano huo, Khalifa Kipao wa Kipao Entertainment.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages