Breaking News

Your Ad Spot

Jan 14, 2011

JK APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA RAIS KIBAKI LEO, AKUTANA NA BALOZI KALAGHE JANA

Mjumbe maalum wa Rais Mwai Kibaki wa Kenya, Mhe.Robinson Njeru Githae akimkabidhi RaisDr.Jakaya Mrisho Kikwete ujumbe kutoka kwa Rais Kibaki ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Bwana Githae ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya jiji la Nairobi aliambatana na maofisa waandamizi kutoka ubalozi wa Kenya nchini Tanzania 
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh.Peter Kallage Ikulu jijini Dar es Salaam jana. (Picha zote na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages