Breaking News

Your Ad Spot

Jan 28, 2011

MAHAFALI YA TATU CHUO CHA KODI KUFANYIKA KESHO

MKUU wa Chuo Cha  Kodi,  Patrick Mugoya, akizungumza na waandishi wa habari, jana mjini Dar es Salaam, kuhusu mahafali ya tatu ya chuo hicho yatakayofanyika kesho. Kulia ni Ofisa Mkuu Taluma wa Chuo hicho, Imelda Rwebangira.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages