Breaking News

Your Ad Spot

Jan 28, 2011

WARSHA YA WAHARIRI KUHUSU NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA YAFANYIKA DAR

JENERALI Umlimwengu akizungumza katika warsha ya wahariri kuhusu nafasi ya vyombo vya habari katika mchakato wa Katiba mpya, iliyofanyika leo katika hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Profesa Issa Shivji. 
BAADHI YA wahariri wakiwa katika warsha ya wahariri kuhusu nafasi ya vyombo vya habari katika mchakato wa Katiba mpya, iliyofanyika leo katika hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Profesa Issa Shivji. Kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa Tanzania Standard Newspapers (TSN), Mkubwa Ally na Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications Ltd, Josiah Mufungo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages