Breaking News

Your Ad Spot

Jan 30, 2011

UVCCM BADO WAIKOMALIA BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ING'OKE

Martine Shigella akizungua katika mkutano wa Shirikisho la matawi ya Umoja wa Vijana wa CCM, wa Elimu ya Juu, leo katika ukumbi wa Vijana, Kinondoni mjini Dar es Salaam. Katika mkutano huo Shirikisho hilo lilitosa tamko kuhusu mgogoro wa mikopo ya elimu ya juu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Chiristopher Ngulaigani  na katikati ni Kaimu Mwenyekiti wa UVCCM, Taifa, Beno Malissa.  
Viongozi na makada wa UVCCM kutoka vyuo vya elimu ya juu wakiwa kwenye mkutano huo 
WAKEREKETWA wa UVCCM wa zamani, Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekile Maige (kushoto) na Mbunge wa Suvye, Richard Ndasa, wakimshauri jambo , Katibu Mkuu wa UVCCM, Shigella katika mkutano huo. 
KATIBU wa Uhamasishaji na Chipukizi wa UVCCM ambaye pia ni Mbunge kwa tiketi ya Jumuia hiyo, Ester Bulaya na akifurahia jambo na mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa UVCCM, Huseein Bashe, nje ya ukumbi baada ya kikao hicho cha kutoa tamko.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages