Breaking News

Your Ad Spot

Jan 21, 2011

PRECISIAN WATOA OFA NAULI ZA NDEGE ZAKE

Sasa Zanzibar-Dar, Sh. 35,000 kwa ndege za kudamka asubuhi tu.
MENEJA Masoko wa Precision Air, Emillius  Rwejura, akitangaza ofa ya nauli ya sh. 35,000 kwa safari za asubuhi za ndege zake kati ya Zanziba na Dar es Salaam, katika kipindi cha  miezi mitano, kuanzia mwezi ujao. Rwejura aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam, leo, alisema, Ofa hiyo ni tofauti na nauli ya sasa ya  sh. 42,000 inayotozwa  kwa safari za kawaida ambayo itaendelea kuwepo. Kulia ni  Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni hiyo, Phil Mwakitawa

1 comment:

  1. tunaomba nauli za mikoa yote muendayo

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages