MENEJA Masoko wa Precision Air, Emillius Rwejura, akitangaza ofa ya nauli ya sh. 35,000 kwa safari za asubuhi za ndege zake kati ya Zanziba na Dar es Salaam, katika kipindi cha miezi mitano, kuanzia mwezi ujao. Rwejura aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam, leo, alisema, Ofa hiyo ni tofauti na nauli ya sasa ya sh. 42,000 inayotozwa kwa safari za kawaida ambayo itaendelea kuwepo. Kulia ni Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni hiyo, Phil Mwakitawa
Your Ad Spot
Jan 21, 2011
Home
Unlabelled
PRECISIAN WATOA OFA NAULI ZA NDEGE ZAKE
PRECISIAN WATOA OFA NAULI ZA NDEGE ZAKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
tunaomba nauli za mikoa yote muendayo
ReplyDelete