Breaking News

Your Ad Spot

Jan 21, 2011

JK AKUTANA NA MKUU WA BARAZA LA COMMONWEALTH

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mkuu wa Commonwealth Council Dr.Mohan Kaul(kushoto) pamoja na Mweyekiti wa Makampuni ya IPP Bwana Reginald Mengi(kulia) mara baaada ya kufanya mazungumzo na Dr.Mohan pamoja na ujumbe wake ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Wengine katika picha ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji Dr.Mary Nagu(wapili kushoto), Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Juma Mwapachu(wanne kushoto) na kulia Mkurugenzi Mtendaji wa TIC Emmanuel Ole Naiko(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages