Breaking News

Your Ad Spot

Jan 21, 2011

YANGA YAICHAKAZA ARUSHA FC 6-1 JIONI HII

Shadrack Nsajigwa wa Yanga akichuana na Emmanuel Panju wa  Arusha FC, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam, katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Vodacom, na Arusha kuondoka na kapu la mabao 6-1.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages